Ni swali nililolisikia kwa vijana wenzangu hapa mtaani kwetu,, je ni kweli ili uwe maarufu ni
lazima uwe na maskendo ya ajabuajabu. lakini ukiangalia asilimia kumbwa ya wasanii wetu maarufu hapa tanzania kiukweli wanatisha kwa maskendo kibao. lakini wapo wasanii maarufu
na hawana maskendo ya kijinga na wanafahamika sana kutokana na kazi zao nzuri je
lazima uwe na maskendo ya ajabuajabu. lakini ukiangalia asilimia kumbwa ya wasanii wetu maarufu hapa tanzania kiukweli wanatisha kwa maskendo kibao. lakini wapo wasanii maarufu
na hawana maskendo ya kijinga na wanafahamika sana kutokana na kazi zao nzuri je

.jpg)