16 Okt 2013

MWANAUME ALIEBEBA UJAUZITO AJIFUNGUA


Mwanaume wa nchini marekani aliebeba ujauzito ajifungua mtoto wa kiume, ni ajabu kwa hili lakini ndo hivyo. alibeba ujauzito huo mwaka 2012 mwishoni.

MAMA AMCHAPA MWANAE HADI KUZIRAI



Mama amchapa mwanae hadi kuzimia ni baada ya mtoto huyo kuondoka nyumbani bila ya kuaga, kwa madai ya mtoto huyo alisema alienda kwa rafiki zake na ilikua matembezi ktk kusherehekea sikukuu ya idd el fitri 

WAKAZI WA DAR WALIVYOSHEREHEKEA SIKUKUU YA IDD EL FITRI KATIKA FUKWE ZA COCO BEACH NA MIKADI KIGAMBONI



Ni katika kusherehekea sikukuu ya idd wakiwa wanaogelea



wazazi wakiwaangalia watoto wao wakiogelea katika fukwe za bahari


lakini mvua yataka kuaribu sherehe za idd 




wakazi wakiangilia mawimbi  ya bahari