22 Okt 2013

JE NI KWELI ILI UWE MAARUFU NI LAZIMA UWE NA..............

Ni swali nililolisikia kwa vijana wenzangu hapa mtaani kwetu,, je ni kweli ili uwe maarufu ni 
lazima uwe na maskendo ya ajabuajabu. lakini ukiangalia asilimia kumbwa ya wasanii wetu maarufu hapa tanzania kiukweli wanatisha kwa maskendo kibao. lakini wapo wasanii maarufu 
na hawana maskendo ya kijinga na wanafahamika sana kutokana na kazi zao nzuri je 

unamshuri nini afanye ili awe maarufu.........







21 Okt 2013

MSANII TAJIRI TANZANIA

ANAMILIKI KAMPUNI, PUB, NA MADUKA MAKUBWA YA NGUO


Inasemekana kuwa AMBWENE YESAYA maarufu kama AY ndiye msanii anaeongoza kwa pesa kuliko wasanii wote hapa TANZANIA. Habari zinasema kua AY anamiliki NYUMBA za kifaharI nchini KENYA  na hapa TANZANIA. 

Amekua mtu wa kujificha sio kujionyesha kwa watu kuwa yeye ni nani na anafanya nini.




AY ni msanii wa kuigwa kwani tangu aanze muziki hajawahi kuwa na skeno za kijingajinga za wanawake.
YA antuzo ya MTV na msanii anaeongoza kwa uvaaji mzuri.




AY hajawahi kuvaa nguo yenye nembo ya kampuni fulani mara nyingi zimeandikwa TANZANIA au AY




AY ni  msanii mwenye connection na wasanii wa kimataifa kama vile PSQUER, DBANJ, JMARTIN, ROMEO NA KINGSTON




NI moja ya gari ya kifahari anayomiliki msanii AY

UMAARUFU WA DIAMOND PLANTNUM

UMAARUFU WA DIAMOND SASA NI KERO........NAONA PESA ZINAMFANYA ABADILI WANAWAKE KAMA NGUO...............

SASA NI ZAMU YA HALIMA







20 Okt 2013

SIMBA NA YANGA LEO


Mashabiki wa yanga wakishagilia baada ya kuwafunga wapinzani wao simba.





mchezaji wa yanga akimtoka beki wa simba na kuongeza bao la pili



beki wa simba akimzuia mshambuliaji wa yanga



mashabiki wa simba wakishangilia baada ya kurudisha bao la tatu baada ya kufungwa na wapinzani wao yango


ni furaha kwa simba bada ya kusawazisha goli la tatu kwa yanga



mshambuliaji wa simba akimtoka beki wa yanga na kufunga goli la kusawazisha baada ya kufungwa tatu bila na yanga


ilikuwa simanzi kwa simba kufungwa magoli matatu bila ya tumaini kama watarudisha hayo magoli


..... lakini mungu si athumani simba walifanikiwa kuludisha magoli yote matatu................

18 Okt 2013

NGOMA MPYA YA DIAMOND-NIKIFA KESHO



Vipi maneke atanillia?
je wasanii wenzangu wataniimbia?
ama litafutika jina langu na nyimbo zangu hawatasikia?
je wasafi watanililia?
je nduguzangu watahudhulia  ama nikifa sina changu?
ata mama angu atanikimbia?...............

Ni baadi ya maneno ya nyimbo yake mpya NIKIFA KESHO



16 Okt 2013

MWANAUME ALIEBEBA UJAUZITO AJIFUNGUA


Mwanaume wa nchini marekani aliebeba ujauzito ajifungua mtoto wa kiume, ni ajabu kwa hili lakini ndo hivyo. alibeba ujauzito huo mwaka 2012 mwishoni.

MAMA AMCHAPA MWANAE HADI KUZIRAI



Mama amchapa mwanae hadi kuzimia ni baada ya mtoto huyo kuondoka nyumbani bila ya kuaga, kwa madai ya mtoto huyo alisema alienda kwa rafiki zake na ilikua matembezi ktk kusherehekea sikukuu ya idd el fitri 

WAKAZI WA DAR WALIVYOSHEREHEKEA SIKUKUU YA IDD EL FITRI KATIKA FUKWE ZA COCO BEACH NA MIKADI KIGAMBONI



Ni katika kusherehekea sikukuu ya idd wakiwa wanaogelea



wazazi wakiwaangalia watoto wao wakiogelea katika fukwe za bahari


lakini mvua yataka kuaribu sherehe za idd 




wakazi wakiangilia mawimbi  ya bahari 

14 Okt 2013

LOH!!!! AIBU KIAMA SASA

ni jambo la kushangaza sana pale watu hawa walipokutwa wakifanya mapenzi dani ya supermakert, walipoulizwa kwa nini walifanya kitendo kile walibaki tu wakiangaliana na kuanza kucheka tu




12 Okt 2013

MAANDALIZI YA SIKUKUU




SIKUKUU NI KITU CHA MUHIMU SANA KATIKA MAISHA, NA HAYA NI MOJA YA
MAANDALIZI YA SIKUKUU YA IDD.

3 Okt 2013

VURUGU MBAGALA--SILVESTRE

HIZI NI BAADHI YA MATUKIO YA VURUGU ILIYOTOKEA LEO MBAGALA



WATU WALIAMUA KUFUNGA BARABARA HAKUNA KUPITA



ILIKUWA MKAMATEKAMATE



SHIDA IKAWA KWA HAWA WATOTO. NI MABOMU YA MACHOZI  SASA



WAZAZI WALIAFUATA WATOTO WAO MASHULENI



LOH! PLIKUWA HAPATOSHI



CHANZO CHA VURUGU INASEMEKANA KUNA MTOTO ALIKUWA AKIVUKA BARABARA KWA BAHATI MBAYA ALIGONGWA NA GARI NA KUFARIKI DUNIA PAPO HAPO. WANANCHI WENYE HASILA KALI WALICHKIZWA NA KITENDO HICHO NA KUFUNGA BARABARA.


2 Okt 2013

MAPAMBO YA HARUSI-SILVESTRE

NI PICHA ZA MAPAMBO YA HARUSI ZILIZOPAMBWA KWA USTADI
NI BAADHI YA PICHA ZINAZOTUMIKA KTK KUPAMBA HARUSI MBALIMBALI HAPA TANZANIA